Mapitio

1 Amini katika Mungu

Mwanzo wa kambi
Ndoto ya Yusufu inakemewa
(Mwanzo 37:2-11)

Mstari wa Biblia

“Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza, kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa dhawabu wale wamtafutao.” Waebrania 11:6

2 Kuamini Mungu

Kambi ya barafu
Yusufu anadhulumiwa
(Mwanzo 37:12-35)

Mstari wa Biblia

"Mtumaini Bwana kwa moyo wako wote, Wala usizitegemee akili zako mwenyewe; Katika njia zako zote mkiri yeye, Naye atayanyosha mapito yako. " Mithali 3:5-6

3 Kumtumikia Mungu

Kambi ya miti
Yusufu akiwa mtumishi kwa nyumba ya Potifa
(Mwanzo 37:36, 39:1-6)

Mstari wa Biblia

"Mtu akinitumikia, na anifuate; nami nilipo, ndipo na mtumishi wangu atakapokuwapo. Tena mtu akinitumikia, Baba atamheshimu. " Yohana 12:26

4 Tumaini katika Mungu

Kambi ya barafuto
Yusufu anasahaulika jela
(Mwanzo 39:7-40:23)

Mstari wa Biblia

"Nafsi zetu zinamngoja Bwana; Yeye ndiye msaada wetu na ngao yetu. " Zaburi 33:20

5 Shukuru Mungu

Kilele
Ndoto ya Yusufu inatimia
(Mwanzo 41:14-40, 41:53-57, 42:1-6)

Mstari wa Biblia

"Nitakushukuru katika kusanyiko kubwa; Nitakusifu kati ya watu wengi. " Zaburi 35:18